Wafanyakazi wa Kiwanda cha Sukari Mkulazi wameshiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambapo Kimkoa yalifanyika katika Uwanja wa Jamhuri uliopo Mkoani Morogoro Mei 1, 2025.
Wafanyakazi wa Kiwanda cha Sukari Mkulazi wameshiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambapo Kimkoa yalifanyika katika Uwanja wa Jamhuri uliopo Mkoani Morogoro Mei 1, 2025.